Author: Mama Mwenyekiti

A Wife, Mother of 4 and a journalist

SERIKALI inakusudia kuweka huduma za mtandao yaani WiFi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maboresho makubwa yanayotarajiwa kufanyika katika uwanja huo. Lengo la huduma hiyo ni kuwawezesha mashabiki kupata huduma ya mtandao bure wanapokuwa uwanjani hapo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo, Saidi Yakubu, ameyasema hayo mkoani Njombe wakati akifungua kikao kazi cha 14 kwa maofisa maendeleo utamaduni na maofisa maendeleo ya michezo wa mikoa yote ya Tanzania bara. “Tunakwenda kushirikiana na wenzetu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari watatuwekea mfumo wa WiFi pale bure utakuwa…

Read More

Na Mwandishi Wetu DUNIA ya sayansi, teknolojia, ubunifu na uvumbuzi imeendelea kuleta mageuzi kwenye sekta ya majenzi na mapambo ya nyumba, ikiongeza vitu vipya kila siku. Moja ya mambo yaliyoongezeka ni kusambaa kwa taarifa za kila kinachofanyika sehemu mbalimbali na hivyo kurahisisha upatikanaji wa maarifa kuhusu jambo lolote, ukiwa sehemu yoyote na hii ndiyo inayodhihirisha kwamba dunia ni kijiji. Katika miaka ya karibuni, kwenye maduka mbalimbali mitandaoni, baadhi ya wabunifu wa samani wametengeneza zinazoitwa ‘zisizo za kawaida’ ambazo zimebuniwa kama picha za wanyama au ndege wakiwamo wa kutisha. Kwenye mitandao zimeonyeshwa samani zilizobuniwa kama tembo, simba, chui, fisi, nguruwe, mbwa,…

Read More

THE UN Capital Development Fund (UNCDF), the main implementer and fund manager of the Euro 17 Million European Union (EU)-funded CookFund programme, has unveiled an awareness campaign called ‘Anzia Jikoni’ – Climate Mitigation Starts in the Kitchen. Imanuel Muro, senior finance specialist and CookFund Programme manager, UNCDF Tanzania revealed recently when speaking during a workshop for media professionals. Organised by the UN Agency, the workshop was aimed at sharing knowledge on the transformative potential of clean cooking technologies in addressing health, environmental, and social challenges. The workshop highlighted the need for public, development partners and private sector collaboration for the…

Read More

By Gaudensia Mngumi THE right of every woman to live peacefully without abuses is stipulated in the 1979 Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination against Women (CEDEW). Furthermore, the 1993 Declaration on the Elimination of Violence Against Women and of late, the Sustainable Development Goal 5.2 which emphasizes total eradication of all forms of violence against women and girls by 2030. Despite such instruments and global guarantees, Gender Based Violence (GBV) is deeply rooted in our society and elsewhere. Although some men also fall victim of GBV, it’s mostly women and girls who endure the vice just…

Read More

MOJA kati ya malengo ya endelevu ya dunia ni kuhakikisha kwamba hadi kufikia mwaka 2033, asilimia 80 ya kaya ziwe zinatumia nishati safi ya kupikia. Lengo hili linakuja na mageuzi ya kiteknolojia ya uvumbuzi wa majiko yanayotumia nishati kidogo kwa ajili ya kupikia na kuhakikisha upatikanaji wake kwa gharama nafuu ili watu wa kada zote mijini na vijijini, waweze kuzipata. Majiko yanayotajwa hapa ni yale yanayotumia kuni, mkaa, mafuta ya kupikia (bioethanol), gesi na umeme kidogo. Kutokana na umuhimu wa nishati hasa kwa ajili ya kupikia, Umoja wa Ulaya (EU), nchini umetenga EURO milioni 17 (takribani Sh. bilioni 47.6), kwa…

Read More

UPATIKANAJI wa uhakika wa gesi, mafuta maalumu ya kupikia (bioethanol), mkaa na kuni mbadala ndilo suluhisho la uharibifu wa mazingira na kupunguza athari za mbadiliko ya tabia nchi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mitaji ya Maendeleo (UNCDF), limesema. Ofisa Mwandamizi wa masuala ya fedha wa UNCDF na Meneja wa mradi wa Cookfund, Imanuel Muro, aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi alipokuwa akizindua kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya ‘Anzia Jikoni-mabadiliko ya hewa safi ya baadae yanaanzia jikoni.’ Alisema ili kuwezesha upatikanaji wa nishati safi, Umoja wa Ulaya (EU), umetenga EURO milioni 17…

Read More

KIOO ni moja ya pambo la ndani lenye ‘ladha’ ya kipekee kutokana na nguvu yake ya kubadili mwonekano wa chumba au eneo kwa ujumla. Wataalamu wa mapambo ya ndani wanaeleza kuwa kioo ni pambo ambalo limetumika kwa karne kadhaa bila kuchuja thamani yake. Moja ya sifa ya kipekee ya kutumia kioo kama pambo ni uwezo wake wa kubadili mwonekano wa chumba kidogo kuwa kikubwa na kupunguza eneo kubwa kuwa la kawaida, kulingana na namna ya uwekaji. Akizungumza na GND mapema leo Juni 9, 2023, mtaalamu wa mapambo ya ndani, Winnie Joseph, anasema kioo ni pambo linalowekwa sehemu tofauti tofauti kuanzia…

Read More

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema visiwa hivyo vina nafasi ya kuendelea kushirikiana na Serikali ya Ujerumani kwenye uwekezaji katika sekta ya utalii. Ameyasema hayo leo Juni 8, 2023 alipozungumza na Balozi wa Ujerumani, Regine Hess, ambaye amemaliza muda wa utumishi wake nchini Tanzania. Rais Mwinyi amesema Ujerumani imetoa mchango mkubwa visiwani hapa kupitia sekta ya majisafi na salama, ambayo aliieleza kuwa muhimu kwa ustawi wa wananchi wa Zanzibar. Ameishukuru serikali ya Ujerumani kwa ushirikiano wanaoutoa kwa serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia sekta za afya na michezo, pamoja na kushajihisha watalii raia wa nchi hiyo, kutembelea vivutio vya…

Read More

SEHEMU ya kulia chakula ni moja ya eneo muhimu ndani ya nyumba yoyote na ndio maana mtu anapojenga nyumba anazingatia eneo hili. Mtaalamu wa mapambo ya ndani, Simon Alex, anaeleza kuwa mabadiliko makubwa yanayoendelea kwenye sekta nyingine yameigusa pia sekta ya nyumba na mazingira kwa ujumla, akizungumzia eneo la chakula. Akizungumza GND anasema chakula hakipaswi kuwekwa kwenye meza ya chakula watu wanapokaa na kula. Badala yake, anasema meza ya bufee ndio inayopaswa kuwekwa chakula na inatakiwa iwekwe pembezoni mwa meza ya chakula ili iwe rahisi kwa mtu anapopakua chakula kufika mezani kula. Anasema meza hiyo inapaswa kuwa ndefu kiasi na…

Read More